Pay
TSh 0
Kelvin Kibenje
Jinsi ya Kununua
- Chagua kitabu/bidhaa.
- Bofya (+) kukiongeza.
- Chagua njia ya malipo.
- Kamilisha malipo.
- Pokea ebook yako kupitia WhatsApp na Email.
BNBiashara na China
TSh 9,000·Available
Biashara na China
TSh 9,000·Available
Unapanga kwenda china, hiki kitabu kitakusaidia kujua hatua zote za kwenda china Kibiashara, kuepuka hasara na kutengeneza faida kubwa
MWMfumo Wa Utajiri: Mikakati ya Uwekezaji na UTT-Amis
TSh 9,000·Available
Mfumo Wa Utajiri: Mikakati ya Uwekezaji na UTT-Amis
TSh 9,000·Available
Kupitia kitabu hiki utajifunza kiundani namna uwekezaji unavyoweza kukufanya ukafanikiwa kifedha kwa viwango vya juu sana. Pia utajifunza juu ya uwekezaji kupitia UTT-Amis.
USUwekezaji Salama - M-Wekeza
TSh 9,000·Available
Uwekezaji Salama - M-Wekeza
TSh 9,000·Available
UWEKEZAJI MDOGO, MATOKEO MAKUBWA.Kupitia M‑WEKEZA, pesa yako haikai tu — inakua kwa nguvu ya compound interest.Anza kidogo leo, acha muda na riba vifanye kazi yake.Pata kitabu hiki ujifunze namna ya kuifanya pesa ikufanyie kazi. 📚💰
SYSayansi Ya Malengo
TSh 9,000·Available
Sayansi Ya Malengo
TSh 9,000·Available
Sayansi ya Malengo sio kitabu cha motisha, ni mwongozo wa kimfumo wa kukufundisha jinsi ya kuweka, kufuatilia na kutimiza malengo kwa kutumia kanuni za saikolojia na nidhamu ya vitendo.Kitabu hiki kinakusaidia kubadili ndoto kuwa mpango, mpango kuwa hatua, na hatua kuwa matokeo yanayopimika.Kama umechoka kuweka malengo kila mwaka bila mafanikio, hiki ni kitabu chako.
EYElimu Ya Fedha Na Biashara
TSh 9,000·Available
Elimu Ya Fedha Na Biashara
TSh 9,000·Available
Jifunze juu ya kutengeza budget, kuepuka mikopo na madeni mabaya, kuongeza mauzo na kukua kibiashara
CTChina To Tanzania - Mbinu na Mikakati ya Kuagiza Bidhaa China Online
TSh 19,000·Available
China To Tanzania - Mbinu na Mikakati ya Kuagiza Bidhaa China Online
TSh 19,000·Available
CHINA TO TANZANIA - Uagizaji China Online ni mwongozo wa vitendo unaokuonyesha jinsi ya kupata bidhaa China, kufanya malipo salama, kusimamia usafirishaji na kuuza kwa faida.Unajifunza kuchagua bidhaa zenye soko, kukokotoa gharama halisi, kuepuka matapeli na kupunguza risk.Ni blueprint ya mtu anayetaka kuagiza kwa mfumo sahihi na kupata faida bila kubahatisha na kutengeneza faida kubwa kwenye soko la Tanzania
FZFursa Za Biashara Na Machimbo eBook
TSh 9,000·Available
Fursa Za Biashara Na Machimbo eBook
TSh 9,000·Available
Fursa za Biashara na Machimbo ni kitabu kinachokufungua macho kuona pesa zilipo karibu yako kabla hujaanza kutafuta mbali.Kinakuonesha machimbo ya kariakoo na number zake.Namna ya kutambua mahitaji ya soko na kuchimba fursa zilizojificha kwenye mazingira yako.Utajifunza jinsi ya kuchagua wazo lenye faida.Hiki kitabu ni ramani ya mtu anayetaka kuona fursa, kuzitumia, na kujenga kipato cha kudumu.
Supported payment providers
AMMPHPMXQR
VIMCAXUPAPGP
Secured by Snippe