Kelvin Kibenje

Kelvin Kibenje

Pay

TSh 0

Kelvin Kibenje

🎤 Speaker,Author,Investor

đź’° I help dreamers become doers and doers become winners

🏆 BOT Certified | Golden Man x2

🚀 Your story of wealth starts here👇

Pata vitabu vya kukusaidia kuongeza Mauzo, kupata mawazo ya Biashara, uwekezaji kwenye mifuko ya pamoja,UTT_Amis, M-wekeza, kuagiza china mwenyewe online na kwenda china kutengeneza faida

SY

SAYANSI YA MALENGO

TSh 7,000·Available
Sayansi ya Malengo sio kitabu cha motisha, ni mwongozo wa kimfumo wa kukufundisha jinsi ya kuweka, kufuatilia na kutimiza malengo kwa kutumia kanuni za saikolojia na nidhamu ya vitendo.Kitabu hiki kinakusaidia kubadili ndoto kuwa mpango, mpango kuwa hatua, na hatua kuwa matokeo yanayopimika.Kama umechoka kuweka malengo kila mwaka bila mafanikio, hiki ni kitabu chako.
EY

ELIMU YA FEDHA NA BIASHARA

TSh 10,000·Available
Jifunze juu ya kutengeza budget, kuepuka mikopo na madeni mabaya, kuongeza mauzo na kukua kibiashara
US

uwekezaji salama - M-WEKEZA

TSh 5,000·Available
UWEKEZAJI MDOGO, MATOKEO MAKUBWA.Kupitia M‑WEKEZA, pesa yako haikai tu — inakua kwa nguvu ya compound interest.Anza kidogo leo, acha muda na riba vifanye kazi yake.Pata kitabu hiki ujifunze namna ya kuifanya pesa ikufanyie kazi. 📚💰
MW

MFUMO WA UTJIRI ( mikakati ya uwekezaji na utt-Amis)

TSh 15,000·Available
Kupitia kitabu hiki utajifunza kiundani namna uwekezaji unavyoweza kukufanya ukafanikiwa kifedha kwa viwango vya juu sana Pia kitabu hiki utajifunza juu ya uwekezaji UTT_Amis
BN

Biashara na china

TSh 10,000·Available
Unapanga kwenda china, hiki kitabu kitakusaidia kujua hatua zote za kwenda china Kibiashara, kuepuka hasara na kutengeneza faida kubwa
CT

CHINA TO TANZANIA- mbinu na mikakati ya kuagiza bidhaa china online

TSh 20,000·Available
CHINA TO TANZANIA - Uagizaji China Online ni mwongozo wa vitendo unaokuonyesha jinsi ya kupata bidhaa China, kufanya malipo salama, kusimamia usafirishaji na kuuza kwa faida.Unajifunza kuchagua bidhaa zenye soko, kukokotoa gharama halisi, kuepuka matapeli na kupunguza risk.Ni blueprint ya mtu anayetaka kuagiza kwa mfumo sahihi na kupata faida bila kubahatisha na kutengeneza faida kubwa kwenye soko la Tanzania
FZ

FURSA ZA BIASHARA NA MACHIMBO

TSh 15,000·Available
Fursa za Biashara na Machimbo ni kitabu kinachokufungua macho kuona pesa zilipo karibu yako kabla hujaanza kutafuta mbali.Kinakuonyesha machimbo ya kariakoo na number zake. namna ya kutambua mahitaji ya soko na kuchimba fursa zilizojificha kwenye mazingira yakoUtajifunza jinsi ya kuchagua wazo lenye faidaHiki kitabu ni ramani ya mtu anayetaka kuona fursa, kuzitumia, na kujenga kipato cha kudumu

Payment method

Phone number

Contact Information

Supported payment providers

AMMPHPMXQR

Secured by Snippe