Pay
TSh 0
DUKAHURU
Shamsi Ramadhani (Dukahuru) ni mjasiriamali na mtaalamu wa branding, marketing, na ukuaji wa biashara, pamoja na mwanzilishi wa Dukahuru Brands Tanzania Limited. Anajikita katika kusaidia biashara na watu binafsi kujenga brand, kuongeza mauzo, na kutumia content na mitandao ya kijamii kama chombo cha ukuaji. Pia ni mentor na mzungumzaji anayefundisha mikakati ya biashara, digital, na personal growth.
SYSAIKOLOJIA YA WATEJA NA BEI
TSh 15,000·1000000 in stock
SAIKOLOJIA YA WATEJA NA BEI
TSh 15,000·1000000 in stock
SAIKOLOJIA YA WATEJA NA BEIKitabu hiki kinaeleza kwa ufupi na kwa uhalisia jinsi wateja wanavyofanya maamuzi ya kununua na namna bei inavyoathiri mtazamo wao. Kinaonesha kuwa mafanikio ya biashara hayategemei bidhaa pekee, bali uwezo wa kuelewa akili ya mteja na kupanga bei kwa mkakati.Ni mwongozo wa vitendo kwa yeyote anayetaka kuuza zaidi, kujenga thamani ya brand, na kufanya maamuzi sahihi ya biashara.
Supported payment providers
AMMPHPMXQR
Secured by Snippe